Job 38:1-6
(Ayubu 38–41)
Bwana Anamjibu Ayubu
1 aKisha Bwana akamjibu Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli. Akasema:2 b“Nani huyu atiaye mashauri yangu giza
kwa maneno yasiyo na maarifa?
3 cJikaze kama mwanaume;
nitakuuliza swali,
nawe unijibu.
4 d“Ulikuwa wapi nilipoweka misingi ya dunia?
Niambie, kama unafahamu.
5 eNi nani aliyeweka alama vipimo vyake?
Hakika wewe unajua!
Ni nani aliyenyoosha kamba ya kupimia juu yake?
6 fJe, misingi yake iliwekwa juu ya nini,
au ni nani aliyeweka jiwe la pembeni,
Copyright information for
SwhKC